Methali 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+ Luka 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Akamwambia, ‘Ninakuhukumu kutoka kinywani mwako mwenyewe,+ mtumwa mwovu. Ulijua, sivyo, kwamba mimi ni mtu mgumu, ambaye huchukua kile ambacho sikuweka akiba na kuvuna kile ambacho sikupanda?+
3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+
22 Akamwambia, ‘Ninakuhukumu kutoka kinywani mwako mwenyewe,+ mtumwa mwovu. Ulijua, sivyo, kwamba mimi ni mtu mgumu, ambaye huchukua kile ambacho sikuweka akiba na kuvuna kile ambacho sikupanda?+