Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+

  • Methali 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+

  • Methali 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+

  • Mathayo 12:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ninawaambia ninyi kwamba kila neno lisilofaa ambalo watu husema, watatoa hesabu+ juu yake katika Siku ya Hukumu;

  • Yakobo 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada+ na bado hauongozi ulimi wake,+ bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe,+ namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.+

  • Yakobo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+

  • Yuda 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe,+ na vinywa vyao husema mambo ya kujigamba,+ huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri+ kwa ajili ya faida yao wenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki