Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwenye hekima moyoni atazikubali amri,+ lakini mwenye midomo ya upumbavu atakanyagiwa chini.+

  • Methali 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+

  • Methali 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+

  • Mhubiri 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki