Methali 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwenye hekima moyoni atazikubali amri,+ lakini mwenye midomo ya upumbavu atakanyagiwa chini.+ Methali 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+ Methali 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+ Mhubiri 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+
14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+
3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+