Methali 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu mwenye moyo mpotovu hatapata mema,+ naye anayebadilika-badilika kwa ulimi ataanguka katika msiba.+ Methali 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+ Mhubiri 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+
20 Mtu mwenye moyo mpotovu hatapata mema,+ naye anayebadilika-badilika kwa ulimi ataanguka katika msiba.+