Methali 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kinywa cha mwadilifu—hicho huzaa tunda la hekima,+ lakini ulimi wa upotovu utakatiliwa mbali.+ Methali 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+ Mhubiri 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+ Yakobo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+
8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+