Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kinywa cha mwadilifu—hicho huzaa tunda la hekima,+ lakini ulimi wa upotovu utakatiliwa mbali.+

  • Methali 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+

  • Mhubiri 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+

  • Yakobo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki