Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Watu wako ni wenye furaha;+ ni wenye furaha+ hawa watumishi wako wanaosimama mbele yako daima, wakiisikiliza hekima yako!+

  • Ayubu 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Maneno yako yalimwinua mtu yeyote mwenye kujikwaa;+

      Nawe uliyaimarisha magoti yanayoyumba-yumba.+

  • Zaburi 37:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+

      Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+

  • Methali 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Midomo ya mwadilifu huendelea kulisha wengi,+ lakini wapumbavu huendelea kufa kwa sababu ya kupungukiwa moyoni.+

  • Luka 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao wote wakaanza kutoa ushahidi mwema juu yake wakistaajabia maneno yenye kuvutia+ sana yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake, na walikuwa wakisema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+

  • Waefeso 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki