Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Na baada ya kuingia eneo lake la nyumbani+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao,+ hivi kwamba wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na kazi hizi zenye nguvu?

  • Marko 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ilipofika siku ya sabato, akaanza kufundisha katika sinagogi; na hesabu kubwa zaidi ya wale waliokuwa wakisikiliza wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi mambo haya?+ Na kwa nini mtu huyu apewe hekima hii, naye afanye matendo yenye nguvu hivyo kwa mikono yake?

  • Yohana 6:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 nao wakaanza kusema:+ “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu,+ ambaye baba na mama yake sisi tunawajua? Anawezaje sasa kusema, ‘Mimi nimeshuka kutoka mbinguni’?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki