2 Ilipofika siku ya sabato, akaanza kufundisha katika sinagogi; na hesabu kubwa zaidi ya wale waliokuwa wakisikiliza wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi mambo haya?+ Na kwa nini mtu huyu apewe hekima hii, naye afanye matendo yenye nguvu hivyo kwa mikono yake?