Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+ Marko 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akatoka huko na kuingia katika eneo lake la nyumbani, na wanafunzi wake wakamfuata.+
23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+