54 Na baada ya kuingia eneo lake la nyumbani+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao,+ hivi kwamba wakastaajabu na kusema: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na kazi hizi zenye nguvu?
16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.