Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+ 1 Wathesalonike 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+
14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.