1 Wakorintho 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Upendo+ ni wenye ustahimilivu+ na wenye fadhili.+ Upendo hauna wivu,+ haujigambi,+ haujivuni,+ Wagalatia 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa upande mwingine, matunda ya roho+ ni upendo, shangwe, amani, ustahimilivu, fadhili, wema,+ imani, Waefeso 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+ Wakolosai 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika+ juu ya mwingine. Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi+ kwa hiari, nanyi fanyeni vivyo hivyo pia.
22 Kwa upande mwingine, matunda ya roho+ ni upendo, shangwe, amani, ustahimilivu, fadhili, wema,+ imani,
2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+
13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika+ juu ya mwingine. Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi+ kwa hiari, nanyi fanyeni vivyo hivyo pia.