Methali 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ufahamu wa mtu hakika hupunguza hasira yake,+ na ni jambo lenye kupendeza anapopita kosa.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+ 1 Petro 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya mambo yote, iweni na upendo mkubwa ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+
32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+
8 Zaidi ya mambo yote, iweni na upendo mkubwa ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+