Methali 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Chuki huchochea ugomvi,+ lakini upendo hufunika hata makosa yote.+ Methali 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+ 1 Wakorintho 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huhimili mambo yote,+ huamini mambo yote,+ hutumaini mambo yote,+ huvumilia mambo yote.+
9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+