Methali 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+ 1 Wakorintho 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Upendo+ ni wenye ustahimilivu+ na wenye fadhili.+ Upendo hauna wivu,+ haujigambi,+ haujivuni,+ 1 Petro 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya mambo yote, iweni na upendo mkubwa ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+
9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+
8 Zaidi ya mambo yote, iweni na upendo mkubwa ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+