1 Wakorintho 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Upendo haushindwi kamwe.+ Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali.+ Wakolosai 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini, zaidi ya mambo haya yote, jivikeni upendo,+ kwa maana huo ni kifungo kikamilifu+ cha muungano.
8 Upendo haushindwi kamwe.+ Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali.+
14 Lakini, zaidi ya mambo haya yote, jivikeni upendo,+ kwa maana huo ni kifungo kikamilifu+ cha muungano.