Matendo 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa watu hawa walikuwa wasikivu kuliko wale wa Thesalonike, kwa maana walilipokea neno kwa hamu kubwa zaidi ya akili, wakiyachunguza+ Maandiko+ kwa uangalifu kila siku ili kuona kama mambo hayo ndivyo yalivyo.+
11 Sasa watu hawa walikuwa wasikivu kuliko wale wa Thesalonike, kwa maana walilipokea neno kwa hamu kubwa zaidi ya akili, wakiyachunguza+ Maandiko+ kwa uangalifu kila siku ili kuona kama mambo hayo ndivyo yalivyo.+