Mambo ya Walawi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye. 2 Timotheo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 lihubiri neno,+ fanya hivyo kwa bidii katika majira yanayofaa,+ katika majira yenye taabu,+ karipia,+ kemea, himiza, kwa ustahimilivu+ wote na ufundi wa kufundisha.
17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.
2 lihubiri neno,+ fanya hivyo kwa bidii katika majira yanayofaa,+ katika majira yenye taabu,+ karipia,+ kemea, himiza, kwa ustahimilivu+ wote na ufundi wa kufundisha.