Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+

      Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+

  • Methali 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+

  • Methali 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana inapendeza kwamba uyaweke tumboni mwako,+ ili yapate kufanywa imara midomoni mwako.+

  • Mathayo 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki