Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+ Methali 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+ Methali 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana inapendeza kwamba uyaweke tumboni mwako,+ ili yapate kufanywa imara midomoni mwako.+ Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+
30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+
35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+