Zaburi 119:103 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Jinsi maneno yako yamekuwa laini katika kaakaa langu,Kuliko asali kinywani mwangu!+ Methali 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+ na ujuzi kupendeza nafsi yako,+ Methali 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo, ijue hekima kwa ajili ya nafsi yako.+ Ikiwa umeipata, basi kuna wakati ujao, na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+
14 Vivyo hivyo, ijue hekima kwa ajili ya nafsi yako.+ Ikiwa umeipata, basi kuna wakati ujao, na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+