1 Wafalme 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+ Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+ Zaburi 144:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi, kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari kwa wingi,+ wakila na kunywa na kushangilia.+
15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+