Mwanzo 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+ Methali 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wingi wa watu ni pambo la mfalme,+ lakini kukosekana kwa watu ni uharibifu wa ofisa mkuu.+
17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+