Mhubiri 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa mwanadamu hakuna jambo bora kuliko kwamba ale, naam, anywe na kuifanya nafsi yake ione mema kwa sababu ya kazi yake ngumu.+ Hilo pia mimi nimeliona, naam mimi, ya kwamba linatoka kwenye mkono wa Mungu wa kweli.+ Mhubiri 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nenda, ukale chakula chako kwa kushangilia na kunywa divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa sababu tayari Mungu wa kweli amependezwa na kazi zako.+
24 Kwa mwanadamu hakuna jambo bora kuliko kwamba ale, naam, anywe na kuifanya nafsi yake ione mema kwa sababu ya kazi yake ngumu.+ Hilo pia mimi nimeliona, naam mimi, ya kwamba linatoka kwenye mkono wa Mungu wa kweli.+
7 Nenda, ukale chakula chako kwa kushangilia na kunywa divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa sababu tayari Mungu wa kweli amependezwa na kazi zako.+