18 Tazama! Jambo bora zaidi ambalo mimi mwenyewe nimeona, ambalo linapendeza, ni kwamba mtu ale na anywe na kuona mema kwa sababu ya kazi yake yote iliyo ngumu+ anayoifanya kwa bidii chini ya jua kwa hesabu ya siku zote za maisha yake ambazo Mungu wa kweli amempa, kwa maana hilo ndilo fungu lake.