Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake ziko juu ya kazi zake zote.+ Mhubiri 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+