Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+

      Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+

  • Zaburi 100:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana Yehova ni mwema;+

      Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+

      Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • Zaburi 104:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wao huokota kile unachowapa.+

      Unaufungua mkono wako—wanashiba vitu vyema.+

  • Nahumu 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+

      Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+

  • Mathayo 5:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+

  • Matendo 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ijapokuwa, kwa kweli, hakujiacha mwenyewe bila ushahidi kwa kuwa alitenda mema,+ akiwapa ninyi mvua+ kutoka mbinguni na majira yenye kuzaa matunda, akijaza mioyo yenu kikamili kwa chakula na uchangamfu.”+

  • Yakobo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki