Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+
8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+