Zaburi 92:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakitangaza kwamba Yehova ni mnyoofu. Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa uadilifu. Zaburi 119:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Wewe ni mwema+ na kazi zako ni njema. Nifundishe masharti yako.+ Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake zinaonekana katika kazi zake zote. Matendo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ingawa hakujiacha bila ushahidi+ kwa kuwa alitenda mema, akiwapa ninyi mvua kutoka mbinguni na majira ya mavuno,+ akiwashibisha kwa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”+
15 Wakitangaza kwamba Yehova ni mnyoofu. Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa uadilifu.
17 ingawa hakujiacha bila ushahidi+ kwa kuwa alitenda mema, akiwapa ninyi mvua kutoka mbinguni na majira ya mavuno,+ akiwashibisha kwa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”+