Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+

      Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+

  • Nahumu 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+

      Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+

  • Mathayo 5:44, 45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, ninawaambia: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi,+ 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, na hunyesha mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu.+

  • Matendo 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ingawa hakujiacha bila ushahidi+ kwa kuwa alitenda mema, akiwapa ninyi mvua kutoka mbinguni na majira ya mavuno,+ akiwashibisha kwa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”+

  • Yakobo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki