35 Badala yake, endeleeni kuwapenda adui zenu, kutenda mema, na kukopesha bila kutumaini kurudishiwa;+ nanyi mtapata thawabu kubwa, na mtakuwa wana wa Aliye Juu Zaidi, kwa sababu yeye huwaonyesha fadhili hata watu wasio na shukrani na waovu.+
17 ingawa hakujiacha bila ushahidi+ kwa kuwa alitenda mema, akiwapa ninyi mvua kutoka mbinguni na majira ya mavuno,+ akiwashibisha kwa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”+