Kutoka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+ Mambo ya Walawi 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Usimkopeshe pesa kwa riba+ au kumpa chakula ili upate faida. Kumbukumbu la Torati 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Unaweza kumtoza riba mgeni,+ lakini usimtoze riba ndugu yako,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zote utakazofanya katika nchi mnayoenda kumiliki.+ Zaburi 37:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.
25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+
20 Unaweza kumtoza riba mgeni,+ lakini usimtoze riba ndugu yako,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zote utakazofanya katika nchi mnayoenda kumiliki.+
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.