Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+

  • Mambo ya Walawi 25:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Usimkopeshe pesa kwa riba+ au kumpa chakula ili upate faida.

  • Kumbukumbu la Torati 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Unaweza kumtoza riba mgeni,+ lakini usimtoze riba ndugu yako,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zote utakazofanya katika nchi mnayoenda kumiliki.+

  • Zaburi 37:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,

      Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+

      Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+

      26 Sikuzote anakopesha bila faida,+

      Na watoto wake watapata baraka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki