Kumbukumbu la Torati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Unapovuna mavuno yako shambani na kusahau tita shambani, usirudi kulichukua. Linapaswa kuachwa kwa ajili ya mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila jambo unalofanya.+ Zaburi 145:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho yote yanakutazama yakiwa na tumaini;Unawapa chakula chao katika majira yake.+ Methali 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova hatamwacha mwadilifu akae njaa,+Lakini atawanyima waovu wanachotamani.
19 “Unapovuna mavuno yako shambani na kusahau tita shambani, usirudi kulichukua. Linapaswa kuachwa kwa ajili ya mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila jambo unalofanya.+