Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Unapovuna mavuno yako shambani na kusahau tita shambani, usirudi kulichukua. Linapaswa kuachwa kwa ajili ya mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila jambo unalofanya.+

  • Zaburi 145:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho yote yanakutazama yakiwa na tumaini;

      Unawapa chakula chao katika majira yake.+

  • Methali 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova hatamwacha mwadilifu akae njaa,+

      Lakini atawanyima waovu wanachotamani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki