Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Mnapovuna mashamba yenu, msivune kabisa ukingo wa mashamba yenu, nanyi msiokote masalio ya mavuno yenu.+

  • Mambo ya Walawi 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Mnapovuna mashamba yenu, msivune kabisa ukingo wa mashamba yenu, nanyi msiokote masalio ya mavuno yenu.+ Waachieni maskini*+ na wageni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

  • Ruthu 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Pia, hakikisheni kwamba mnachomoa masuke machache kutoka katika matita na kumwachia nyuma ili ayaokote, msimkataze.”

  • Zaburi 41:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayemjali mtu wa hali ya chini;+

      Yehova atamwokoa siku ya msiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki