Ruthu 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia mhakikishe mmemtolea baadhi yake katika vitita vya masuke, na kuyaacha nyuma apate kuyaokota,+ wala msimkemee.” Ruthu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:16 Mnara wa Mlinzi (Funzo),10/2016, uku. 10
16 Pia mhakikishe mmemtolea baadhi yake katika vitita vya masuke, na kuyaacha nyuma apate kuyaokota,+ wala msimkemee.”