Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zenu atakuwa maskini miongoni mwenu katika mojawapo ya majiji yaliyo katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msiifanye mioyo yenu iwe migumu au kumfumbia mkono ndugu yenu maskini.+ 8 Kwa maana mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu+ na kufanya yote mwezayo kumkopesha* chochote anachohitaji au alichopungukiwa.

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+

      צ [Tsade]

      Uadilifu wake unadumu milele.+

      ק [Qoph]

      Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.

  • Methali 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,

      Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+

  • Methali 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mtu mkarimu* atabarikiwa,

      Kwa maana chakula chake humgawia maskini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki