15 Ikiwa ndugu au dada hawana nguo* na chakula cha kutosha kwa ajili ya siku, 16 na mmoja wenu awaambie, “Nendeni kwa amani; mwote moto na mle vizuri,” lakini bila kuwapatia mahitaji ya mwili wao, kuna faida gani?+
17 Lakini yeyote aliye na mali za ulimwengu huu akimwona ndugu yake akiwa na uhitaji naye akatae kumhurumia, anawezaje kuwa na upendo wa Mungu ndani yake?+