Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zenu atakuwa maskini miongoni mwenu katika mojawapo ya majiji yaliyo katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msiifanye mioyo yenu iwe migumu au kumfumbia mkono ndugu yenu maskini.+ 8 Kwa maana mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu+ na kufanya yote mwezayo kumkopesha* chochote anachohitaji au alichopungukiwa.

  • Luka 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akawajibu: “Mtu aliye na mavazi mawili* ampe vazi moja yule ambaye hana, na aliye na chakula afanye vivyo hivyo.”+

  • Waroma 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Iweni wakaribishaji wageni.*+

  • Yakobo 2:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ikiwa ndugu au dada hawana nguo* na chakula cha kutosha kwa ajili ya siku, 16 na mmoja wenu awaambie, “Nendeni kwa amani; mwote moto na mle vizuri,” lakini bila kuwapatia mahitaji ya mwili wao, kuna faida gani?+

  • 1 Yohana 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote akisema, “Ninampenda Mungu,” na bado anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo.+ Kwa maana mtu ambaye hampendi ndugu yake,+ ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hajamwona.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki