Kumbukumbu la Torati 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+ Kumbukumbu la Torati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:7 w10 9/15 8 Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:7 Mnara wa Mlinzi (2010),9/15/2010, uku. 8
7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+