7 Ni kumgawia aliye na njaa mkate wako,+
Kuwaleta maskini na wasio na makao nyumbani mwako,
Kumvisha aliye uchi unapokutana naye,+
Na kutowageuzia mgongo watu wako wa ukoo.
8 Ndipo nuru yako itakapochomoza kama mapambazuko,+
Na uponyaji wako utatokea upesi.
Uadilifu wako utakutangulia,
Na utukufu wa Yehova utakuwa ulinzi nyuma yako.+