Kutoka 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo malaika wa Mungu wa kweli+ aliyekuwa akitangulia kambi ya Waisraeli akaondoka na kurudi nyuma yao, nayo nguzo ya wingu iliyokuwa mbele yao ikarudi nyuma na kusimama nyuma yao.+ Isaya 52:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hamtaondoka kwa wasiwasi,Wala hamtahitaji kukimbia,Kwa maana Yehova atawatangulia,+Na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.+
19 Ndipo malaika wa Mungu wa kweli+ aliyekuwa akitangulia kambi ya Waisraeli akaondoka na kurudi nyuma yao, nayo nguzo ya wingu iliyokuwa mbele yao ikarudi nyuma na kusimama nyuma yao.+
12 Kwa maana hamtaondoka kwa wasiwasi,Wala hamtahitaji kukimbia,Kwa maana Yehova atawatangulia,+Na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.+