34 Nenda sasa, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia. Tazama! Malaika wangu atakutangulia,+ na siku ya kuwaadhibu itakapofika, nitawaadhibu kwa sababu ya dhambi yao.”
16 Mwishowe tulimlilia Yehova,+ naye akasikia kilio chetu na kumtuma malaika;+ akatutoa Misri, na sasa tuko hapa Kadeshi, jiji linalopakana na eneo lako.
9 Lakini Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipopingana na Ibilisi na kubishana naye kuhusu mwili wa Musa,+ hakuthubutu kumhukumu kwa kumtukana,+ bali alimwambia: “Yehova* na akukemee.”+