Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+

      Na waitwe kwa jina langu na jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,

      Acha waongezeke na kuwa umati mkubwa duniani.”+

  • Kutoka 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nenda sasa, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia. Tazama! Malaika wangu atakutangulia,+ na siku ya kuwaadhibu itakapofika, nitawaadhibu kwa sababu ya dhambi yao.”

  • Hesabu 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe tulimlilia Yehova,+ naye akasikia kilio chetu na kumtuma malaika;+ akatutoa Misri, na sasa tuko hapa Kadeshi, jiji linalopakana na eneo lako.

  • Yuda 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipopingana na Ibilisi na kubishana naye kuhusu mwili wa Musa,+ hakuthubutu kumhukumu kwa kumtukana,+ bali alimwambia: “Yehova* na akukemee.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki