Kutoka 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo malaika wa Mungu wa kweli+ aliyekuwa akitangulia kambi ya Waisraeli akaondoka na kurudi nyuma yao, nayo nguzo ya wingu iliyokuwa mbele yao ikarudi nyuma na kusimama nyuma yao.+ Kutoka 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ Kutoka 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamtuma malaika awatangulie+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+
19 Ndipo malaika wa Mungu wa kweli+ aliyekuwa akitangulia kambi ya Waisraeli akaondoka na kurudi nyuma yao, nayo nguzo ya wingu iliyokuwa mbele yao ikarudi nyuma na kusimama nyuma yao.+
2 Nitamtuma malaika awatangulie+ na kuwafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+