Kutoka 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ Kutoka 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nenda sasa, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia. Tazama! Malaika wangu atakutangulia,+ na siku ya kuwaadhibu itakapofika, nitawaadhibu kwa sababu ya dhambi yao.”
34 Nenda sasa, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia. Tazama! Malaika wangu atakutangulia,+ na siku ya kuwaadhibu itakapofika, nitawaadhibu kwa sababu ya dhambi yao.”