Kutoka 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+ Kutoka Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 32:34 w05 3/1 30; dp 204-205 Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 32:34 The Watchtower, 3/1/2005, uku. 30 Unabii wa Danieli, kur. 204-205
34 Na sasa, njoo, waongoze watu kwenda mahali nilipokuambia juu yake. Tazama! Malaika wangu ataenda mbele yako,+ na siku ile nitakayoleta adhabu hakika mimi nitaleta adhabu juu yao kwa sababu ya dhambi yao.”+