Kumbukumbu la Torati 34:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Musa mtumishi wa Yehova akafa huko katika nchi ya Moabu kama Yehova alivyosema.+ 6 Akamzika bondeni katika nchi ya Moabu, ng’ambo ya Beth-peori, na hakuna mtu anayejua kaburi lake liko wapi mpaka leo hii.+
5 Kisha Musa mtumishi wa Yehova akafa huko katika nchi ya Moabu kama Yehova alivyosema.+ 6 Akamzika bondeni katika nchi ya Moabu, ng’ambo ya Beth-peori, na hakuna mtu anayejua kaburi lake liko wapi mpaka leo hii.+