Zekaria 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha malaika wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova na akukemee, ewe Shetani,+ naam, Yehova, ambaye amechagua Yerusalemu,+ na akukemee! Je, mtu huyu si gogo lililochomolewa motoni?”
2 Kisha malaika wa Yehova akamwambia Shetani: “Yehova na akukemee, ewe Shetani,+ naam, Yehova, ambaye amechagua Yerusalemu,+ na akukemee! Je, mtu huyu si gogo lililochomolewa motoni?”