2 Mambo ya Nyakati 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae humo, nami nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’+ Zekaria 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova atamiliki Yuda kama fungu lake katika ardhi takatifu, naye atalichagua tena jiji la Yerusalemu.+
6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae humo, nami nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’+
12 Yehova atamiliki Yuda kama fungu lake katika ardhi takatifu, naye atalichagua tena jiji la Yerusalemu.+