2 Mambo ya Nyakati 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae humo, nami nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’+ Zekaria 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Tangaza tena hivi kwa sauti: ‘Yehova wa majeshi anasema, “Majiji yangu yatafurika wema tena; na Yehova atalifariji tena Sayuni+ na kulichagua tena Yerusalemu.”’”+
6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae humo, nami nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’+
17 “Tangaza tena hivi kwa sauti: ‘Yehova wa majeshi anasema, “Majiji yangu yatafurika wema tena; na Yehova atalifariji tena Sayuni+ na kulichagua tena Yerusalemu.”’”+