Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+

      Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+

  • Mathayo 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wenye furaha ni wale wenye rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema.

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki