Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mnapaswa kumpa kwa ukarimu,+ nanyi hampaswi* kumpa huku mkinung’unika, kwa sababu hiyo Yehova Mungu wenu atabariki kila kazi na kila jambo mnalofanya.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+

      Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+

  • Mhubiri 11:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tupa* mkate wako juu ya maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+ 2 Wagawie watu saba au hata wanane,+ kwa maana hujui ni msiba gani utakaotokea* duniani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki