10 Mnapaswa kumpa kwa ukarimu,+ nanyi hampaswi* kumpa huku mkinung’unika, kwa sababu hiyo Yehova Mungu wenu atabariki kila kazi na kila jambo mnalofanya.+
11Tupa* mkate wako juu ya maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+2 Wagawie watu saba au hata wanane,+ kwa maana hujui ni msiba gani utakaotokea* duniani.