Kumbukumbu la Torati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Unapovuna mavuno yako shambani na kusahau tita shambani, usirudi kulichukua. Linapaswa kuachwa kwa ajili ya mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila jambo unalofanya.+ Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayemjali mtu wa hali ya chini;+Yehova atamwokoa siku ya msiba.
19 “Unapovuna mavuno yako shambani na kusahau tita shambani, usirudi kulichukua. Linapaswa kuachwa kwa ajili ya mkaaji mgeni, yatima, na mjane,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila jambo unalofanya.+